Swali: Je, ni kweli kwamba al-Husayn (Radhiya Allaahu ´anh) alimfanyia uasi mtawala? Je, kule kwenda kwake ´Iraaq kunaitwa “uasi”?
Jibu: Hapana. al-Husayn hakufanya kitu kama hicho. Bali watu wa ´Iraaq walimuahidi ambapo baadaye wakamdanganya na hatimaye wakamuua.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 03/04/2018
Swali: Je, ni kweli kwamba al-Husayn (Radhiya Allaahu ´anh) alimfanyia uasi mtawala? Je, kule kwenda kwake ´Iraaq kunaitwa “uasi”?
Jibu: Hapana. al-Husayn hakufanya kitu kama hicho. Bali watu wa ´Iraaq walimuahidi ambapo baadaye wakamdanganya na hatimaye wakamuua.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 03/04/2018
https://firqatunnajia.com/al-husayn-bin-aliy-radhiya-allaahu-anh-hakufanya-uasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)