Swali: Je, al-Haqq ni katika Majina ya Allaah (Ta´ala) kwa kuwa limethibiti katika Qur-aan:
Jibu: Je, al-Haqq ni katika Majina ya Allaah (Ta´ala) kwa kuwa limethibiti katika Qur-aan:
أَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ الْمُبِينُ
“Allaah Ndiye Al-Haqqu [Mwenye kulipa kwa haki] iliyo bayana.”? (24:25)
Jibu: Haya ni maelezo kuhusu Allaah (Jalla wa ´Alaa). Amejieleza ya kwamba Yeye ni al-Haqq na wale wenye kuombwa badala Yake [´ibaada zao] ni batili. Hili ni kwa njia ya maelezo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Je, al-Haqq ni katika Majina ya Allaah (Ta´ala) kwa kuwa limethibiti katika Qur-aan:
Jibu: Je, al-Haqq ni katika Majina ya Allaah (Ta´ala) kwa kuwa limethibiti katika Qur-aan:
أَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ الْمُبِينُ
“Allaah Ndiye Al-Haqqu [Mwenye kulipa kwa haki] iliyo bayana.”? (24:25)
Jibu: Haya ni maelezo kuhusu Allaah (Jalla wa ´Alaa). Amejieleza ya kwamba Yeye ni al-Haqq na wale wenye kuombwa badala Yake [´ibaada zao] ni batili. Hili ni kwa njia ya maelezo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/al-haqq-ni-jina-la-allah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)