Swali: Ni ipi hukumu mwanaume kutumia hina mikononi mwake ikiwa hii ndio desturi yao nchini mwao?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ikiwa anahitajia kupaka hina mikononi mwake hakuna neno akaitumia. Ama kusema kwamba ni desturi asifuate desturi ya nchi. Asitumie hina isipokuwa kwa sababu ya haja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
- Imechapishwa: 21/07/2019
Swali: Ni ipi hukumu mwanaume kutumia hina mikononi mwake ikiwa hii ndio desturi yao nchini mwao?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ikiwa anahitajia kupaka hina mikononi mwake hakuna neno akaitumia. Ama kusema kwamba ni desturi asifuate desturi ya nchi. Asitumie hina isipokuwa kwa sababu ya haja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
Imechapishwa: 21/07/2019
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-mwanaume-kupaka-hina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)