Swali: Mwenye kupinga majina na sifa za Allaah anakuwa kafiri kwa hilo?
Jibu: Ikiwa atafanya kwa kukusudia na anajua dalili na akakhalifu hilo kwa matamanio au kwa kasumba kung´ang´ania madhehebu ni kafiri. Lakini ikiwa kafahamu vibaya au anafuata kichwa mchunga huyu hakufurishwi. Lakini ni mpotofu mpaka abainishiwe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/node/2819 Tarehe: 1431-05-13/2010-04-26
- Imechapishwa: 10/04/2022
Swali: Mwenye kupinga majina na sifa za Allaah anakuwa kafiri kwa hilo?
Jibu: Ikiwa atafanya kwa kukusudia na anajua dalili na akakhalifu hilo kwa matamanio au kwa kasumba kung´ang´ania madhehebu ni kafiri. Lakini ikiwa kafahamu vibaya au anafuata kichwa mchunga huyu hakufurishwi. Lakini ni mpotofu mpaka abainishiwe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/node/2819 Tarehe: 1431-05-13/2010-04-26
Imechapishwa: 10/04/2022
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ukafiri-wa-mwenye-kupinga-majina-na-sifa-za-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)