Swali: Waabudu makaburi ni wajinga na hivyo hawakufurishwi kwa ajili hiyo?
Jibu: Mpaka lini watakuwa wajinga ilihali wanaishi kati ya waislamu, wanasikia Qur-aan, maneno ya wanachuoni na Hadiyth? Mpaka lini? Hoja imewafikia. Maadamu hoja imewafikia hawana udhuru wowote:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Na nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.” (06:19)
Mwenye kufikiwa na Qur-aan hana hoja yoyote. Wengi wao watu hawa wamehifadhi Qur-aan. Wamefikiwa na Qur-aan ambayo inakataza shirki, inatahadharisha shirki na inawakemea washirikina.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid%207%20-%20… Toleo la: 22.05.2015
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Waabudu makaburi ni wajinga na hivyo hawakufurishwi kwa ajili hiyo?
Jibu: Mpaka lini watakuwa wajinga ilihali wanaishi kati ya waislamu, wanasikia Qur-aan, maneno ya wanachuoni na Hadiyth? Mpaka lini? Hoja imewafikia. Maadamu hoja imewafikia hawana udhuru wowote:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Na nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.” (06:19)
Mwenye kufikiwa na Qur-aan hana hoja yoyote. Wengi wao watu hawa wamehifadhi Qur-aan. Wamefikiwa na Qur-aan ambayo inakataza shirki, inatahadharisha shirki na inawakemea washirikina.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid%207%20-%20… Toleo la: 22.05.2015
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)