Swali: Ikiwa mtu anaishi katika mji wa Kiislamu ambapo watu wengi wamefungamana na watu wema na hakuna wanachuoni wa Tawhiyd. Mtu huyu anawaomba watu hao wema na kujikurubisha kwao kwa kuwafanyia aina mbali mbali za ´ibaadah. Je, tumhukumu kufuru kwa dhati yake na kutangamana naye matangamano ya makafiri bila ya kumsimamishia hoja? Tunaomba utupambanulie.
Jibu: Ikiwa amefikiwa na Qur-aan na anaielewa basi anaingia katika kanuni niliyowatajia. Akifikiwa na Qur-aan na yeye ni mwarabu na anafahamu lugha ya kiarabu, basi amesimamikiwa na hoja.
Shirki ni kitu kiko wazi kabisa katika Qur-aan. Makatazo juu ya shirki ni miongoni mwa mambo yaliyo wazi kabisa katika Qur-aan. Sehemu nyingi imekatazwa, kutolewa makemeo na kutahadharisha juu yake. Hana udhuru. Ikiwa anaomba asiyekuwa Allaah ni mshirikina kwa dhati yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2137
- Imechapishwa: 09/07/2020
Swali: Ikiwa mtu anaishi katika mji wa Kiislamu ambapo watu wengi wamefungamana na watu wema na hakuna wanachuoni wa Tawhiyd. Mtu huyu anawaomba watu hao wema na kujikurubisha kwao kwa kuwafanyia aina mbali mbali za ´ibaadah. Je, tumhukumu kufuru kwa dhati yake na kutangamana naye matangamano ya makafiri bila ya kumsimamishia hoja? Tunaomba utupambanulie.
Jibu: Ikiwa amefikiwa na Qur-aan na anaielewa basi anaingia katika kanuni niliyowatajia. Akifikiwa na Qur-aan na yeye ni mwarabu na anafahamu lugha ya kiarabu, basi amesimamikiwa na hoja.
Shirki ni kitu kiko wazi kabisa katika Qur-aan. Makatazo juu ya shirki ni miongoni mwa mambo yaliyo wazi kabisa katika Qur-aan. Sehemu nyingi imekatazwa, kutolewa makemeo na kutahadharisha juu yake. Hana udhuru. Ikiwa anaomba asiyekuwa Allaah ni mshirikina kwa dhati yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2137
Imechapishwa: 09/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-13/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)