Swali: Ni ipi tofauti kati ya Suurah ya Makkah na ya al-Madiynah?
Jibu: Suurah ya Makkah ni ile ambayo imeteremka Makkah kabla ya Hijrah. Ama Suurah ya al-Madiynah ni ile ambayo imeteremka baada ya Hijrah. Hii ndio Suurah ya al-Madiynah. Iliyoteremka kabla ya Hijrah ndio Suurah ya Makkah. Iliyoteremka baada ya Hijrah ndio Suurah ya al-Madiynah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi tofauti kati ya Suurah ya Makkah na ya al-Madiynah?
Jibu: Suurah ya Makkah ni ile ambayo imeteremka Makkah kabla ya Hijrah. Ama Suurah ya al-Madiynah ni ile ambayo imeteremka baada ya Hijrah. Hii ndio Suurah ya al-Madiynah. Iliyoteremka kabla ya Hijrah ndio Suurah ya Makkah. Iliyoteremka baada ya Hijrah ndio Suurah ya al-Madiynah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-tofauti-kati-ya-suurah-za-makkah-na-al-madiynah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)