Swali: Je, inajuzu kutoa nywele za kwenye kifua, mapaja na kwenye miguu au ni kujifananisha na wanawake?
Jibu: Hili mlilisoma jana katika Hadiyth ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiufanya mwili wake unang´aa. Kutoa nywele za mwilini ni jambo lisilokuwa na ubaya. Lililokatazwa ni kutoa ndevu na mwanamke kutoa nyusi zake. Haya ndio yamekatazwa. Ama kutoa nywele ambazo zinamuudhi mtu na zinakusanya harufu mbaya kwenye mwili wake na zinakuwa ndefu sana, hizi hakuna neno. Hili ni katika usafi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-9.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, inajuzu kutoa nywele za kwenye kifua, mapaja na kwenye miguu au ni kujifananisha na wanawake?
Jibu: Hili mlilisoma jana katika Hadiyth ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiufanya mwili wake unang´aa. Kutoa nywele za mwilini ni jambo lisilokuwa na ubaya. Lililokatazwa ni kutoa ndevu na mwanamke kutoa nyusi zake. Haya ndio yamekatazwa. Ama kutoa nywele ambazo zinamuudhi mtu na zinakusanya harufu mbaya kwenye mwili wake na zinakuwa ndefu sana, hizi hakuna neno. Hili ni katika usafi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-9.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mwanaume-kutoa-nywele-za-mwilini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)