Swali: Inanukuliwa kutoka kwa Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) ya kwamba haipiti Talaka kwa kuapa na wala haihesabiki…
Jibu: Ni sahihi. Anafutu kwa hili. Lakini hata hivyo, rai hii haina nguvu. Na Riwaayah tulionayo sahihi ni kuwa inapita. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Muamrishe amrejee (mke wake).”
Ni dalili ioneshayo kuwa inapita pamoja na mtu kuwa kupatamadhambi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9999
- Imechapishwa: 08/03/2018
Swali: Inanukuliwa kutoka kwa Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) ya kwamba haipiti Talaka kwa kuapa na wala haihesabiki…
Jibu: Ni sahihi. Anafutu kwa hili. Lakini hata hivyo, rai hii haina nguvu. Na Riwaayah tulionayo sahihi ni kuwa inapita. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Muamrishe amrejee (mke wake).”
Ni dalili ioneshayo kuwa inapita pamoja na mtu kuwa kupatamadhambi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9999
Imechapishwa: 08/03/2018
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-msimamo-wa-imaam-ibn-baaz-kuhusu-kuapa-kwa-talaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)