Swali: Kuweka Mihraab ni Sunnah au wajibu?
Jibu: Mihraab ni alama ya Qiblah. Ina manufaa. Inaonesha ni wapi Qiblah kipo. Misikiti isiyokuwa na Mihraab ukiingia hujui ni wapi Qiblah kipo. Pale unapoona Mihraab ndio unajua Qiblah. Ina manufaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
- Imechapishwa: 27/04/2018
Swali: Kuweka Mihraab ni Sunnah au wajibu?
Jibu: Mihraab ni alama ya Qiblah. Ina manufaa. Inaonesha ni wapi Qiblah kipo. Misikiti isiyokuwa na Mihraab ukiingia hujui ni wapi Qiblah kipo. Pale unapoona Mihraab ndio unajua Qiblah. Ina manufaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
Imechapishwa: 27/04/2018
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mihraab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)