Swali: Bora zaidi katika kusoma Qur-aan katika Ramadhaan ni kukhitimisha kwa mara nyingi au kusoma kwa mazingatio pamoja na kukhitimisha katika siku tatu kwa uchache?
Jibu: Bora zaidi ni kusoma pamoja na kuzingatia. Bora zaidi ni kusoma kwa mazingatio pamoja na kufaidika na Qur-aan. Ama kupurua tu pasina kuzingatia, huu ni upungufu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Bora zaidi katika kusoma Qur-aan katika Ramadhaan ni kukhitimisha kwa mara nyingi au kusoma kwa mazingatio pamoja na kukhitimisha katika siku tatu kwa uchache?
Jibu: Bora zaidi ni kusoma pamoja na kuzingatia. Bora zaidi ni kusoma kwa mazingatio pamoja na kufaidika na Qur-aan. Ama kupurua tu pasina kuzingatia, huu ni upungufu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kusoma-qur-aan-kwa-mazingatio-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)