Swali: Kumtolea adhaana mtoto wakati anapozaliwa ni Sunnah iliyothibiti?
Jibu: Ndio, imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba aliadhini kwenye sikio la al-Hasan na al-Husayn na akakimu. Inakuwa kitu cha kwanza anachosikia mtoto DhikrAllaah (´Azza wa Jalla).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Ndio, imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba aliadhini kwenye sikio la al-Hasan na al-Husayn na akakimu. Inakuwa kitu cha kwanza anachosikia mtoto DhikrAllaah (´Azza wa Jalla).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kumuadhinia-mtoto-anapozaliwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)