Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la Hudaa?
al-Fawzaan: Kumpa nalo mtoto wa kiume au wa kike?
Muulizaji: Wa kike.
Jibu: Hakuna neno. Kuitwa kwa jina la Hudaa hakuna neno. Lililokatazwa ni kuitwa kwa jina la Dhwalaal au Kufr na kadhalika. Ama kuitwa kwa jina la Hudaa, Iymaan na kadhalika, hili ni jambo zuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
al-Fawzaan: Kumpa nalo mtoto wa kiume au wa kike?
Muulizaji: Wa kike.
Jibu: Hakuna neno. Kuitwa kwa jina la Hudaa hakuna neno. Lililokatazwa ni kuitwa kwa jina la Dhwalaal au Kufr na kadhalika. Ama kuitwa kwa jina la Hudaa, Iymaan na kadhalika, hili ni jambo zuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
http://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kumpa-mtoto-jina-la-hudaa-na-iymaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)