Swali: Anayekufa katika Hajj ya faradhi baada ya kusimama ´Arafah anazingatiwa amekamilisha Hajj yake au inatakiwa kumfanyia Hajj?
Jibu: Huyu amekufa katika Hajj yake, asihijiwe. Ameenda katika Hajj mwenyewe lakini hakuikamilisha na amekufa ndani yake, ni mwenye kubaki katika Ihraam yake kama hali ya yule aliyeanguka kutoka kwenye mpando wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Jibu: Huyu amekufa katika Hajj yake, asihijiwe. Ameenda katika Hajj mwenyewe lakini hakuikamilisha na amekufa ndani yake, ni mwenye kubaki katika Ihraam yake kama hali ya yule aliyeanguka kutoka kwenye mpando wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
http://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kumhijia-tena-mtu-aliyekufa-katika-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)