Swali: Niliruzukiwa mtoto wa kiume ambaye nikawa nimempa jina la baba yangu, Daakhil. Baadhi ya ndugu wakaonelea jina hili libadilishwe. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Hakuna makatazo mpaka kusemwe inatakiwa libadilishwe. Hakuna makatazo katika jina Daakhil na Dakhiyl.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Niliruzukiwa mtoto wa kiume ambaye nikawa nimempa jina la baba yangu, Daakhil. Baadhi ya ndugu wakaonelea jina hili libadilishwe. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Hakuna makatazo mpaka kusemwe inatakiwa libadilishwe. Hakuna makatazo katika jina Daakhil na Dakhiyl.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-jina-daakhil-na-dakhiyl/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)