149- Sharh-us-Sunnah
Imeandikwa na al-Barbahaariy. Anaitwa Abu Muhammad al-Hasan bin ´Aliy bin Khalaf al-Barbahaariy. al-Barbahaariy ni unasibisho wa matibabu ya kihindi yanayoitwa “Barbahaariy”. Aliyekuwa akiyaleta alikuwa anaitwa “al-Barbahaariy”.
Alikuwa ni mwanachuoni mkubwa wa madhehebu ya Hanaabilah. Alikuwa anaishi Baghdaad na huenda pia alizaliwa huko. Alifariki 329.
Ibn Abiy Ya´laa amesema juu yake:
“Alikuwa ni Shaykh wa Hanaabilah katika zama zake. Alikuwa ndio mtu wa kwanza kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah na kuwasusa kwa mkono na mdomo. Alikuwa na sifa nzuri kwa mtawala na manzilah nzuri kwa Hanaabilah. Alikuwa ni mmoja katika maimamu waaminifu wenye kumjua Allaah na wenye kuhifadhi misingi kwa njia inayotakikana.”
adh-Dhahabiy amesema:
“Alikuwa Faqiyh na kiigizo na Shaykh wa Hanaabilah Iraaq kwa njia zote. Alikuwa na sifa kubwa na cheo kitukufu.”
- Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taariykh Tadwiyn-il-´Aqiydah as-Salafiyyah, uk. 85-86
- Imechapishwa: 06/09/2020
149- Sharh-us-Sunnah
Imeandikwa na al-Barbahaariy. Anaitwa Abu Muhammad al-Hasan bin ´Aliy bin Khalaf al-Barbahaariy. al-Barbahaariy ni unasibisho wa matibabu ya kihindi yanayoitwa “Barbahaariy”. Aliyekuwa akiyaleta alikuwa anaitwa “al-Barbahaariy”.
Alikuwa ni mwanachuoni mkubwa wa madhehebu ya Hanaabilah. Alikuwa anaishi Baghdaad na huenda pia alizaliwa huko. Alifariki 329.
Ibn Abiy Ya´laa amesema juu yake:
“Alikuwa ni Shaykh wa Hanaabilah katika zama zake. Alikuwa ndio mtu wa kwanza kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah na kuwasusa kwa mkono na mdomo. Alikuwa na sifa nzuri kwa mtawala na manzilah nzuri kwa Hanaabilah. Alikuwa ni mmoja katika maimamu waaminifu wenye kumjua Allaah na wenye kuhifadhi misingi kwa njia inayotakikana.”
adh-Dhahabiy amesema:
“Alikuwa Faqiyh na kiigizo na Shaykh wa Hanaabilah Iraaq kwa njia zote. Alikuwa na sifa kubwa na cheo kitukufu.”
Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taariykh Tadwiyn-il-´Aqiydah as-Salafiyyah, uk. 85-86
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/al-barbahaariy-aliwasusa-ahl-ul-bidah-kwa-mkono-na-mdomo-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)