Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kwa kalamu ya penseli kwenye msahafu kwa ajili ya kujifunza kusoma Qur-aan tukufu?
Jibu: Mimi sioni kikwazo cha kufanya hivo. Lakini bora zaidi iwe pambizoni mwa msahafu.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 57
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kwa kalamu ya penseli kwenye msahafu kwa ajili ya kujifunza kusoma Qur-aan tukufu?
Jibu: Mimi sioni kikwazo cha kufanya hivo. Lakini bora zaidi iwe pambizoni mwa msahafu.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 57
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-kuhusu-kuandika-kwa-penseli-ndani-ya-msahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)