Swali: Je, inafaa kutafuta ponyo kwa Qur-aan kwa njia ya kwamba mgonjwa akasoma sehemu kidogo kisha akatema ndani ya maji na akayanywa au akaosha kwayo ile sehemu ya maumivu au watu wengine wakamsomea na wakatema ndani ya maji kisha wakampa ayanywe? Haya yametajwa na ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim katika “at-Twabbi an-Nabawiy”[1] na amenukuu mfano wa maneno hayo kutoka kwa Shaykh wake (Rahimahumaa Allaah)[2].
Jibu: Haya hayakupokelewa.
[1] Ndani ya Zaad-ul-Ma´aad (03/164).
[2] at-Twabbi an-Nabawiy ndani ya Zaad-ul-Ma´aad (03/328).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 37
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Je, inafaa kutafuta ponyo kwa Qur-aan kwa njia ya kwamba mgonjwa akasoma sehemu kidogo kisha akatema ndani ya maji na akayanywa au akaosha kwayo ile sehemu ya maumivu au watu wengine wakamsomea na wakatema ndani ya maji kisha wakampa ayanywe? Haya yametajwa na ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim katika “at-Twabbi an-Nabawiy”[1] na amenukuu mfano wa maneno hayo kutoka kwa Shaykh wake (Rahimahumaa Allaah)[2].
Jibu: Haya hayakupokelewa.
[1] Ndani ya Zaad-ul-Ma´aad (03/164).
[2] at-Twabbi an-Nabawiy ndani ya Zaad-ul-Ma´aad (03/328).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 37
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-kuhusu-kombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)