Kuna kufuru mbili:
1- Kufuru ya kuritadi: Inapelekea katika hukumu kadhaa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa mali yake na kuuawa.
2- Kufuru ya unafiki: Tunajua kuwa ni kafiri na anahukumiwa kuwa ni kafiri. Lakini hata hivyo haipelekei katika hukumu za kufuru kwa sababu ameingia katika wanafiki. Hili ni jambo lenye kujulikana katika ufafanuzi wake katika maneno ya wanachuoni.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 177
- Imechapishwa: 17/05/2020
Kuna kufuru mbili:
1- Kufuru ya kuritadi: Inapelekea katika hukumu kadhaa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa mali yake na kuuawa.
2- Kufuru ya unafiki: Tunajua kuwa ni kafiri na anahukumiwa kuwa ni kafiri. Lakini hata hivyo haipelekei katika hukumu za kufuru kwa sababu ameingia katika wanafiki. Hili ni jambo lenye kujulikana katika ufafanuzi wake katika maneno ya wanachuoni.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 177
Imechapishwa: 17/05/2020
https://firqatunnajia.com/aina-mbili-za-makafiri-%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)