Swali: Hakika unajua kueneza kwa njia mbalimbali za mawasiliano leo. Kuna ambao wanatumia njia hizi ili kueneza fitina kati ya watu na kutahadharisha wanachuoni na watawala. Ni ipi hukumu ya watu hawa?

Jibu: Tahadharini nao na mtahadharishe nao. Watu hawa ni wajibu kwenu kutahadhari nao na kutahadharisha nao na shari yao. Watu hawa wameanguka na himdi zote ni za Allaah. Hawasadikishwi, maneno yao hayakubaliwi na wala hawana taathira yoyote katika jamii. Utaona ndio watu waliio na hadhi ya chini kabisa na ndio watu wenye kudharauliwa kabisa katika jamii.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
  • Imechapishwa: 28/06/2020