Swali: Hakika unajua kueneza kwa njia mbalimbali za mawasiliano leo. Kuna ambao wanatumia njia hizi ili kueneza fitina kati ya watu na kutahadharisha wanachuoni na watawala. Ni ipi hukumu ya watu hawa?
Jibu: Tahadharini nao na mtahadharishe nao. Watu hawa ni wajibu kwenu kutahadhari nao na kutahadharisha nao na shari yao. Watu hawa wameanguka na himdi zote ni za Allaah. Hawasadikishwi, maneno yao hayakubaliwi na wala hawana taathira yoyote katika jamii. Utaona ndio watu waliio na hadhi ya chini kabisa na ndio watu wenye kudharauliwa kabisa katika jamii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Hakika unajua kueneza kwa njia mbalimbali za mawasiliano leo. Kuna ambao wanatumia njia hizi ili kueneza fitina kati ya watu na kutahadharisha wanachuoni na watawala. Ni ipi hukumu ya watu hawa?
Jibu: Tahadharini nao na mtahadharishe nao. Watu hawa ni wajibu kwenu kutahadhari nao na kutahadharisha nao na shari yao. Watu hawa wameanguka na himdi zote ni za Allaah. Hawasadikishwi, maneno yao hayakubaliwi na wala hawana taathira yoyote katika jamii. Utaona ndio watu waliio na hadhi ya chini kabisa na ndio watu wenye kudharauliwa kabisa katika jamii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-bidah-na-hizbiyyuun-wameanguka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)