Swali: Mtu akinuia kubaki sehemu zaidi ya siku nne afupishe katika zile siku nne za mwanzo kisha aanze kuswali kikamilifu kuanzie ile siku ya tano?
Jibu: Hapana. Tokea siku ya kwanza aliyofika asifupishe midhali amenuia kubaki sehemu hiyo zaidi ya siku nne. Anatakiwa kuswali kikamilifu tokea siku ile aliyofika katika mji aliyonuia kubaki ndani yake zaidi ya siku nne.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Mtu akinuia kubaki sehemu zaidi ya siku nne afupishe katika zile siku nne za mwanzo kisha aanze kuswali kikamilifu kuanzie ile siku ya tano?
Jibu: Hapana. Tokea siku ya kwanza aliyofika asifupishe midhali amenuia kubaki sehemu hiyo zaidi ya siku nne. Anatakiwa kuswali kikamilifu tokea siku ile aliyofika katika mji aliyonuia kubaki ndani yake zaidi ya siku nne.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/afupishe-swalah-katika-yale-masiku-mane-ya-mwanzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)