Swali: Kukitokea madhara kwa sababu ya kukusanya ambapo kukakusanywa swalah. Je, kukikusanya kunaswaliwa Raatibah ya Maghrib na ´Ishaa na pia kunasomwa Adhkaar na Maghrib na ´Ishaa au inatosheleza kusoma baadhi yake pasina zengine?
Jibu: Kuhusu hizo Raatibah mbili zinatakiwa kuswaliwa; mtu anaanza na Raatibah ya Maghrib kwanza kisha anaswali Raatibah ya ´Ishaa.
Kuhusu Adhkaar lililo dhahiri ni kwamba mtu atosheke na kusoma Dhikr moja. Lakini ni Dhikr ipi ambayo ni nyingi zaidi ya Maghrib au ya ´Ishaa? Dhikr ya Maghrib. Mtu akisoma hizo tu natumai kuwa ni zenye kutosheleza.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (33) http://binothaimeen.net/content/736
Swali: Kukitokea madhara kwa sababu ya kukusanya ambapo kukakusanywa swalah. Je, kukikusanya kunaswaliwa Raatibah ya Maghrib na ´Ishaa na pia kunasomwa Adhkaar na Maghrib na ´Ishaa au inatosheleza kusoma baadhi yake pasina zengine?
Jibu: Kuhusu hizo Raatibah mbili zinatakiwa kuswaliwa; mtu anaanza na Raatibah ya Maghrib kwanza kisha anaswali Raatibah ya ´Ishaa.
Kuhusu Adhkaar lililo dhahiri ni kwamba mtu atosheke na kusoma Dhikr moja. Lakini ni Dhikr ipi ambayo ni nyingi zaidi ya Maghrib au ya ´Ishaa? Dhikr ya Maghrib. Mtu akisoma hizo tu natumai kuwa ni zenye kutosheleza.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (33) http://binothaimeen.net/content/736
https://firqatunnajia.com/adhkaar-wakati-wa-kukusanya-kati-ya-swalah-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)