Swali: Kuna mtu amejenga msikiti na ni mwenye kupenda sauti za baadhi ya waadhini. Kwa hivyo anacheza sauti ya muadhini huyu kunapoingia wakati wa kila adhaana. Je, kitendo chake hichi ni sahihi?
Jibu: Hapana. Si sahihi. Haisilihi. Haijuzu kuachwa akaendelea kufanya kitendo hichi. Adhaana ya muadhini inatosheleza kwa sauti yake hai, na si sauti ya kuchezwa. Adhaana haitakiwi kuchezeshwa. Inatakiwa iwe adhaana ya aliye hai.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Kuna mtu amejenga msikiti na ni mwenye kupenda sauti za baadhi ya waadhini. Kwa hivyo anacheza sauti ya muadhini huyu kunapoingia wakati wa kila adhaana. Je, kitendo chake hichi ni sahihi?
Jibu: Hapana. Si sahihi. Haisilihi. Haijuzu kuachwa akaendelea kufanya kitendo hichi. Adhaana ya muadhini inatosheleza kwa sauti yake hai, na si sauti ya kuchezwa. Adhaana haitakiwi kuchezeshwa. Inatakiwa iwe adhaana ya aliye hai.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/adhaana-za-kuchezeshwa-hazifai/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)