Swali: Inajuzu kwa muadhini aliye na janaba kuingia msikitini na kuadhini?
Jibu: Ndio, anaweza kuingia msikitini. Kwa kuwa hakutokaa. Kilichokatazwa ni kukaa msikitini. Ama kuingia kwa sababu ya haja na kutoka ni sawa. Kutoa adhaana hakuna kukaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 15/01/2017
Swali: Inajuzu kwa muadhini aliye na janaba kuingia msikitini na kuadhini?
Jibu: Ndio, anaweza kuingia msikitini. Kwa kuwa hakutokaa. Kilichokatazwa ni kukaa msikitini. Ama kuingia kwa sababu ya haja na kutoka ni sawa. Kutoa adhaana hakuna kukaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 15/01/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-mwenye-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)