Swali: Adhaana ya mtoto wa kiume aliye na miaka sita au saba ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua na swalah yake ni sahihi, hivyo adhaana yake pia ni sahihi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 14/01/2017
Swali: Adhaana ya mtoto wa kiume aliye na miaka sita au saba ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua na swalah yake ni sahihi, hivyo adhaana yake pia ni sahihi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 14/01/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-mtoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)