Swali: Katika baadhi ya misikiti adhaana inatolewa kupitia kanda uliorekodiwa. Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Hii sio adhaana. Kanda sio muadhini. Adhaana ni ´ibaadah ambayo ni lazima itolewe na muislamu ambaye anawajibika juu ya matendo yake. Kanda hauwajibiki juu ya matendo yake. Haisihi kwayo ´ibaadah. Imechezesha sauti tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 26/01/2017
Swali: Katika baadhi ya misikiti adhaana inatolewa kupitia kanda uliorekodiwa. Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Hii sio adhaana. Kanda sio muadhini. Adhaana ni ´ibaadah ambayo ni lazima itolewe na muislamu ambaye anawajibika juu ya matendo yake. Kanda hauwajibiki juu ya matendo yake. Haisihi kwayo ´ibaadah. Imechezesha sauti tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 26/01/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-mkanda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)