Swali: Imewahi kuthibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliadhini?
Jibu: Hili swali limeshatangulia kuulizwa. Mliuliza kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliadhini. Sijui. Sijui lolote kuhusu hili.
Swali: Bora ni kuadhini au kuongoza swalah?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana. Kilicho dhahiri – na Allaah ndiye anajua zaidi – kuongoza swalah ndio bora zaidi. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye aliongoza swalah. Ni dalili yenye kuthibitisha kuwa uimamu ndio bora zaidi. Aidha imamu anatakiwa kutimiza masharti fulani ambayo hayakuwekwa kwa muadhini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 03/01/2017
Swali: Imewahi kuthibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliadhini?
Jibu: Hili swali limeshatangulia kuulizwa. Mliuliza kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliadhini. Sijui. Sijui lolote kuhusu hili.
Swali: Bora ni kuadhini au kuongoza swalah?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana. Kilicho dhahiri – na Allaah ndiye anajua zaidi – kuongoza swalah ndio bora zaidi. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye aliongoza swalah. Ni dalili yenye kuthibitisha kuwa uimamu ndio bora zaidi. Aidha imamu anatakiwa kutimiza masharti fulani ambayo hayakuwekwa kwa muadhini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 03/01/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-au-uimamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)