Abu az-Zur´ah amesema:
Ukimuona mtu anamtukana mmoja katika Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi tambua kuwa ni zindiki. Hayo ni kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni haki na Qur-aan ni haki. Waliotunukulia Qur-aan hii na Sunnah ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanachokusudia ni kuwajeruhi mashahidi wetu ili waiporomoshe Qur-aan na Sunnah – wao wana haki zaidi ya kujeruhiwa. Isitoshe ni mazanadiki.
- Mhusika: Imaam al-Khatwiyb al-Baghdaadiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Kifaayah, uk. 97
- Imechapishwa: 24/01/2019
Abu az-Zur´ah amesema:
Ukimuona mtu anamtukana mmoja katika Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi tambua kuwa ni zindiki. Hayo ni kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni haki na Qur-aan ni haki. Waliotunukulia Qur-aan hii na Sunnah ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanachokusudia ni kuwajeruhi mashahidi wetu ili waiporomoshe Qur-aan na Sunnah – wao wana haki zaidi ya kujeruhiwa. Isitoshe ni mazanadiki.
Mhusika: Imaam al-Khatwiyb al-Baghdaadiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Kifaayah, uk. 97
Imechapishwa: 24/01/2019
https://firqatunnajia.com/abu-az-zurah-kuhusu-anayemtukana-swahahabah-mmoja-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)