Swali: Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh kwa kuzingatia ya kwamba sijaona jambo lolote libaya kwao?
Jibu: Inajuzu ikiwa utawafundisha Tawhiyd na elimu ya Kishari´ah. Wao – Allaah Awaongoze – hawajali elimu ya Kishari´ah. Ikiwa utatoka nao kwa sababu ya kuwafundisha, Allaah Anaweza Akawaongoza katika elimu na masomo, jambo ambalo ni zuri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Buhuuth al-Islaamiyyah (72/78)
- Imechapishwa: 22/04/2015
Swali: Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh kwa kuzingatia ya kwamba sijaona jambo lolote libaya kwao?
Jibu: Inajuzu ikiwa utawafundisha Tawhiyd na elimu ya Kishari´ah. Wao – Allaah Awaongoze – hawajali elimu ya Kishari´ah. Ikiwa utatoka nao kwa sababu ya kuwafundisha, Allaah Anaweza Akawaongoza katika elimu na masomo, jambo ambalo ni zuri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Buhuuth al-Islaamiyyah (72/78)
Imechapishwa: 22/04/2015
https://firqatunnajia.com/abdul-aziyz-aalush-shaykh-kuhusu-jamaaat-ut-tabliygh-2__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)