Swali: Mwanamke wa Kiislamu aliye katika nchi ya kikafiri yuko na msichana anayefanya machafu na anawaasi wazazi wake. Je, inajuzu kumfukuza nyumbani?

Jibu: Hapana. Wamwache hapo nyumbani na wamlinde. Wamlinde na wasimwache akatoke nje. Wamfungie nyumbani na wamlinde.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
  • Imechapishwa: 06/08/2017