Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema ya kwamba Aayah za Qur-aan ni kama muziki na nyimbo?
Jibu: Sidhani kama kuna ambaye anasema hivi. Lakini kuko ambao wanasema Aayah za Qur-aan zina sauti ya aina ya muziki, wakiwa na maana ya kwamba maneno ya Qur-aan ni yenye ladha masikio yanaburudika nazo. Wanakusudia kusema hivi. Lakini wamekosea kwenye taabiri. Lau wasingelitumia taabiri kama hii ingelikuwa ni bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 29/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema ya kwamba Aayah za Qur-aan ni kama muziki na nyimbo?
Jibu: Sidhani kama kuna ambaye anasema hivi. Lakini kuko ambao wanasema Aayah za Qur-aan zina sauti ya aina ya muziki, wakiwa na maana ya kwamba maneno ya Qur-aan ni yenye ladha masikio yanaburudika nazo. Wanakusudia kusema hivi. Lakini wamekosea kwenye taabiri. Lau wasingelitumia taabiri kama hii ingelikuwa ni bora zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
Imechapishwa: 29/06/2018
https://firqatunnajia.com/aayah-za-qur-aan-ni-kama-nyimbo-muziki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)