Swali: Mume akifariki na kisha baada ya eda mke wake akaolewa na mwanaume mwingine atakuwa na yupi siku ya Qiyaamah?
Jibu: Hili liko kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hatujui mambo ya siku ya Qiyaamah. Hili ni kwa Allaah.
Lakini imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu mwanamke ambaye alikuwa na waume wengi ni yupi atakuwa mume wake? Akasema atakuwa kwa yule ambaye alikuwa na tabia nzuri zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13844
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mume akifariki na kisha baada ya eda mke wake akaolewa na mwanaume mwingine atakuwa na yupi siku ya Qiyaamah?
Jibu: Hili liko kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hatujui mambo ya siku ya Qiyaamah. Hili ni kwa Allaah.
Lakini imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu mwanamke ambaye alikuwa na waume wengi ni yupi atakuwa mume wake? Akasema atakuwa kwa yule ambaye alikuwa na tabia nzuri zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13844
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/aakhirah-atakuwa-na-mume-yupi-kati-ya-hawa-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)