Ukitendea kazi aliyotaja mtunzi katika shairi hili na ukayaamini kama yalivyotajwa, basi wewe uko katika njia sahihi. Ambaye ataonelea kinyume na yaliyotajwa humu, atakuwa ni katika wakhalifu kutegemea na vile ukhalifu wake ulivyo. Hilo sio kwa sababu ya shairi au mshairi mwenyewe. Hilo ni kwa sababu shairi hili limechukuliwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Haina maana kwamba analisifu shairi lake. Ni kusifu yale yaliyomo ambayo yana maana ya Qur-aan na Sunnah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 202-203
- Imechapishwa: 13/01/2024
Ukitendea kazi aliyotaja mtunzi katika shairi hili na ukayaamini kama yalivyotajwa, basi wewe uko katika njia sahihi. Ambaye ataonelea kinyume na yaliyotajwa humu, atakuwa ni katika wakhalifu kutegemea na vile ukhalifu wake ulivyo. Hilo sio kwa sababu ya shairi au mshairi mwenyewe. Hilo ni kwa sababu shairi hili limechukuliwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Haina maana kwamba analisifu shairi lake. Ni kusifu yale yaliyomo ambayo yana maana ya Qur-aan na Sunnah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 202-203
Imechapishwa: 13/01/2024
https://firqatunnajia.com/99-uwajibu-wa-kutendea-kazi-yaliyotajwa-na-mwandishi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)