Swali: Ni ipi hukumu ya kumfunga mnyama miguu pindi unamchinja kwa ajili ya kumfanyia wepesi mnyama? Pamoja na kuzingatia kwamba kumfunga miguu wakati wa kumchinja na kumfanya asitikisiketikisike inapelekea kutoka damu chache.
Jibu: Hapana, asifungwe. Kufanya hivo kunapelekea ukali wa kumuadhibu. Kwa sababu kule kurusharusha miguu yake kunamfanya kuhisi raha na kumpunguzia machungu. Kwa hivyo asifungwe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=us5uDBlACFA&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 15/07/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kumfunga mnyama miguu pindi unamchinja kwa ajili ya kumfanyia wepesi mnyama? Pamoja na kuzingatia kwamba kumfunga miguu wakati wa kumchinja na kumfanya asitikisiketikisike inapelekea kutoka damu chache.
Jibu: Hapana, asifungwe. Kufanya hivo kunapelekea ukali wa kumuadhibu. Kwa sababu kule kurusharusha miguu yake kunamfanya kuhisi raha na kumpunguzia machungu. Kwa hivyo asifungwe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=us5uDBlACFA&feature=youtu.be
Imechapishwa: 15/07/2021
https://firqatunnajia.com/97077-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)