Swali 96: Je, inafaa kutenga baadhi ya maeneo ya makaburi kwa ajili ya wanawake na baadhi ya maeneo mengine kwa ajili ya wanamme ili iwe wepesi zaidi kwa watembezi wa makaburi kutambua[1]?
Jibu: Sijui msingi wowote juu ya jambo hili. Kilichowekwa katika Shari´ah ni makaburi yawe kwa ajili ya watu wote. Kufanya hivo kuna wepesi na urahisi. Jengine kitendo hichi ndivo walivopita juu yake waislamu kuanzia zama zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka hii leo kutokana na ninavojua. Baqiy´ ilikuwa ni yenye kushirikishwa kati ya wanamme na wanawake wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kheri yote inapatikana kwa kufuata mfumo wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), Maswahabah wake (Radhiya Allaahu ´anhum) na wale wataofuata njia yao kwa wema.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/212-213).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 66-67
- Imechapishwa: 07/01/2022
Swali 96: Je, inafaa kutenga baadhi ya maeneo ya makaburi kwa ajili ya wanawake na baadhi ya maeneo mengine kwa ajili ya wanamme ili iwe wepesi zaidi kwa watembezi wa makaburi kutambua[1]?
Jibu: Sijui msingi wowote juu ya jambo hili. Kilichowekwa katika Shari´ah ni makaburi yawe kwa ajili ya watu wote. Kufanya hivo kuna wepesi na urahisi. Jengine kitendo hichi ndivo walivopita juu yake waislamu kuanzia zama zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka hii leo kutokana na ninavojua. Baqiy´ ilikuwa ni yenye kushirikishwa kati ya wanamme na wanawake wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kheri yote inapatikana kwa kufuata mfumo wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), Maswahabah wake (Radhiya Allaahu ´anhum) na wale wataofuata njia yao kwa wema.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/212-213).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 66-67
Imechapishwa: 07/01/2022
https://firqatunnajia.com/96-kutenga-makaburi-ya-wanamme-na-makaburi-ya-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)