Tanzu za imani ni nyingi kama mnavojua. Ni sehemu sabini na kitu. Imaam al-Bayhaqiy ametunga kitabu kikubwa ambacho amebainisha tanzu za imani. Ana kitabu vilevile kilichoeleza kwa ufupi ambacho kimechapishwa.
Miongoni mwa dalili za wanachuoni kwamba imani ni kuzungumza kwa mdomo, kuamini ndani ya moyo na matendo ya viungo ni maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ya juu yake ni neno “hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah.”
Ni dalili ya kuzungumza.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ya chini yake ni kuondosha kitu chenye kudhuru katika njia.”
Kitendo hichi kimefahamisha kuwa matendo yanaingia katika imani.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hayaa ni sehemu katika imani.”
Kitu hichi kinakuwa ndani ya moyo. Hayaa inakuwa moyoni. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa imani ni kuzungumza kwa mdomo, kuamini moyoni na matendo ya viungo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 201
- Imechapishwa: 20/01/2021
Tanzu za imani ni nyingi kama mnavojua. Ni sehemu sabini na kitu. Imaam al-Bayhaqiy ametunga kitabu kikubwa ambacho amebainisha tanzu za imani. Ana kitabu vilevile kilichoeleza kwa ufupi ambacho kimechapishwa.
Miongoni mwa dalili za wanachuoni kwamba imani ni kuzungumza kwa mdomo, kuamini ndani ya moyo na matendo ya viungo ni maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ya juu yake ni neno “hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah.”
Ni dalili ya kuzungumza.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ya chini yake ni kuondosha kitu chenye kudhuru katika njia.”
Kitendo hichi kimefahamisha kuwa matendo yanaingia katika imani.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hayaa ni sehemu katika imani.”
Kitu hichi kinakuwa ndani ya moyo. Hayaa inakuwa moyoni. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa imani ni kuzungumza kwa mdomo, kuamini moyoni na matendo ya viungo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 201
Imechapishwa: 20/01/2021
https://firqatunnajia.com/95-dalili-katika-sunnah-kwamba-imani-ni-kuzungumza-kuamini-na-matendo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)