Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim Maalik anaoneleaje juu ya waafrika ambao wako nje ya nchi sku ya ´iyd; ni wapi wanatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr? Akasema:
“Wanapotaka, ndivo anavosema Maalik.”
Maalik amesema:
“Ni sahihi pia familia yake Afrika wakamtolea kwa niaba yake.”
- Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
- Imechapishwa: 04/05/2021
Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim Maalik anaoneleaje juu ya waafrika ambao wako nje ya nchi sku ya ´iyd; ni wapi wanatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr? Akasema:
“Wanapotaka, ndivo anavosema Maalik.”
Maalik amesema:
“Ni sahihi pia familia yake Afrika wakamtolea kwa niaba yake.”
Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
Imechapishwa: 04/05/2021
https://firqatunnajia.com/94188-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)