Swali 93: Ni urefu gani kaburi linatakiwa kunyanyuliwa kutokea chini[1]?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah ni shibiri na mfano wake. Kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) halikunyanyuliwa isipokuwa kiasi cha shibiri. Kuhusu kunyanyua sana haiuzu kutokana na yale yaliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati alipomwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Usiache picha yoyote isipokuwa uiharibu wala kaburi lililonyanyuliwa isipokuwa ulisawazishe.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/209).
[2] Muslim (969) na an-Nasaa´iy (2031).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 65
- Imechapishwa: 06/01/2022
Swali 93: Ni urefu gani kaburi linatakiwa kunyanyuliwa kutokea chini[1]?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah ni shibiri na mfano wake. Kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) halikunyanyuliwa isipokuwa kiasi cha shibiri. Kuhusu kunyanyua sana haiuzu kutokana na yale yaliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati alipomwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Usiache picha yoyote isipokuwa uiharibu wala kaburi lililonyanyuliwa isipokuwa ulisawazishe.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/209).
[2] Muslim (969) na an-Nasaa´iy (2031).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 65
Imechapishwa: 06/01/2022
https://firqatunnajia.com/93-ni-urefu-gani-kaburi-linatakiwa-kunyanyuliwa-kutokea-chini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)