Kinachoshangaza ni kwamba watu hawa wamezijenga ´Aqiydah zao juu ya falsafa na kanuni za kimantiki na wanasema kuwa haya ndio yanafidisha yakini. Sambamba na hilo wanaona kuwa maneno ya Allaah hayafidishi yakini na Sunnah haifidishi yakini kwa mtazamo wao. Huu ni upotofu na maangamivu.
Ama Ahl-ul-Haqq na Ahl-us-Sunnah wanasema kwamba yale yote yaliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanafidisha yakini na elimu na yanatumiwa kama hoja na dalili katika mambo ya ´Aqiydah, ´ibaadah na mu´amala. Hakuna tofauti katika hayo. Hii ndio njia ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 115-116
- Imechapishwa: 27/11/2018
Kinachoshangaza ni kwamba watu hawa wamezijenga ´Aqiydah zao juu ya falsafa na kanuni za kimantiki na wanasema kuwa haya ndio yanafidisha yakini. Sambamba na hilo wanaona kuwa maneno ya Allaah hayafidishi yakini na Sunnah haifidishi yakini kwa mtazamo wao. Huu ni upotofu na maangamivu.
Ama Ahl-ul-Haqq na Ahl-us-Sunnah wanasema kwamba yale yote yaliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanafidisha yakini na elimu na yanatumiwa kama hoja na dalili katika mambo ya ´Aqiydah, ´ibaadah na mu´amala. Hakuna tofauti katika hayo. Hii ndio njia ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 115-116
Imechapishwa: 27/11/2018
https://firqatunnajia.com/87-ajabu-iliyoje-kwa-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)