Swali 86: Katika baadhi ya nchi kaburi la mwanamke linawekewa alama moja na la mwanamme linawekewa alama mbili. Je, kitendo hichi kina msingi ijapo kutambua tu kaburi la mwanamke kutokamana na la mwanamme[1]?
Jibu: Sitambui msingi wowote wa kitendo hichi. Sunnah ni kulinganisha kati ya makaburi yote mawili inapokuja katika ukina, uzikaji na kwa juu ya kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/199).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 61
- Imechapishwa: 01/01/2022
Swali 86: Katika baadhi ya nchi kaburi la mwanamke linawekewa alama moja na la mwanamme linawekewa alama mbili. Je, kitendo hichi kina msingi ijapo kutambua tu kaburi la mwanamke kutokamana na la mwanamme[1]?
Jibu: Sitambui msingi wowote wa kitendo hichi. Sunnah ni kulinganisha kati ya makaburi yote mawili inapokuja katika ukina, uzikaji na kwa juu ya kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/199).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 61
Imechapishwa: 01/01/2022
https://firqatunnajia.com/86-kaburi-la-mwanamke-alama-moja-kaburi-la-mwanamme-alama-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)