Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Allaah ameutumia kila Ummah Mtume, kuanzia kwa Nuuh mpaka kwa Muhammad, ili kuwaamrisha kumwabudu Allaah pekee na akiwakataza na shirki. Dalili ni maneno Yake (Ta´ala):
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّـهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ
“Na kwa hakika Tulituma katika kila ummah Mtume [awaamrishe watu wake] kwamba: “Mwabuduni Allaah na jiepusheni na waungu wa wongo!” (an-Nahl 16 : 36)
MAELEZO
Allaah ameutumia kila Ummah Mtume – Allaah ameutumia kila Ummah Mtume akiwaita wamwabudu Allaah pekee na akiwakataza na shirki. Dalili ya hilo ni maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَإِن مِّنْ أُمَّةٍ إِلَّا خَلَا فِيهَا نَذِيرٌ
“Hakuna Ummah wowote ule isipokuwa amepita humo mwonyaji.” (Faatwir 35 : 24)
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّـهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ
“Na kwa hakika Tulituma katika kila ummah Mtume [awaamrishe watu wake] kwamba: “Mwabuduni Allaah na jiepusheni na waungu wa wongo!”
Hii ndio maana ya hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 150
- Imechapishwa: 04/06/2020
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Allaah ameutumia kila Ummah Mtume, kuanzia kwa Nuuh mpaka kwa Muhammad, ili kuwaamrisha kumwabudu Allaah pekee na akiwakataza na shirki. Dalili ni maneno Yake (Ta´ala):
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّـهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ
“Na kwa hakika Tulituma katika kila ummah Mtume [awaamrishe watu wake] kwamba: “Mwabuduni Allaah na jiepusheni na waungu wa wongo!” (an-Nahl 16 : 36)
MAELEZO
Allaah ameutumia kila Ummah Mtume – Allaah ameutumia kila Ummah Mtume akiwaita wamwabudu Allaah pekee na akiwakataza na shirki. Dalili ya hilo ni maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَإِن مِّنْ أُمَّةٍ إِلَّا خَلَا فِيهَا نَذِيرٌ
“Hakuna Ummah wowote ule isipokuwa amepita humo mwonyaji.” (Faatwir 35 : 24)
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّـهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ
“Na kwa hakika Tulituma katika kila ummah Mtume [awaamrishe watu wake] kwamba: “Mwabuduni Allaah na jiepusheni na waungu wa wongo!”
Hii ndio maana ya hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 150
Imechapishwa: 04/06/2020
https://firqatunnajia.com/85-mitume-wote-wametumwa-kwa-kazi-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)