Download

196-

سُبْحـانَكَ اللّهُـمَّ وَبِحَمدِك، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْك

”Kutakasika kutokamana na mapungufu ni Kwako,  ee Allaah, himdi  zote njema ni Zako. Nashuhudia kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Wewe. Nakuomba msamaha na nakutubia Kwako.”[1]

[1] Wameipokea watunzi wa ”as-Sunan”. Tazama ”Swahiyh-ut-Tirmidhiy” (03/153). Imethibiti kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) aliyesema:

“Hakupatapo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kukaa kikao chochote, kusoma Qur-aan wala kuswali swalah yoyote isipokuwa ataimalizia kwa maneno haya… “ an-Nasaa´iy katika “´Amal-ul-Yawm wal-Laylah” (308) na Ahmad (06/77). Dr. Faaruuq Hamaadah ameisahihisha katika ukaguzi wake “´Amal-ul-Yawm wal-Laylah”, uk. 273 ya an-Nasaa´iy.

  • Mhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Huswn-ul-Muslim
  • Imechapishwa: 03/05/2020