Swali 77: Je, mtu ajitolee kushuka chini ya kaburi ikiwa aliyekufa ni mwanamke na hana walii[1]?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo hata kama mawalii wake watakuwepo pale. Mmoja katika wasichana zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwekwa ndani ya kaburi lake na wasiokuwa Mahaarim zake licha ya yeye mwenyewe kuwepo pale (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/191).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 56
- Imechapishwa: 01/01/2022
Swali 77: Je, mtu ajitolee kushuka chini ya kaburi ikiwa aliyekufa ni mwanamke na hana walii[1]?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo hata kama mawalii wake watakuwepo pale. Mmoja katika wasichana zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwekwa ndani ya kaburi lake na wasiokuwa Mahaarim zake licha ya yeye mwenyewe kuwepo pale (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/191).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 56
Imechapishwa: 01/01/2022
https://firqatunnajia.com/77-mwanamke-kushushwa-ndani-ya-kaburi-na-asiyekuwa-mahram-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)