Ambaye alishikamana na Sunnah za Mtume duniani na akazitendea kazi ndiye ambaye ataifikia Hodhi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) siku ya Qiyaamah na atakunywa kutoka humo. Kuhusu ambaye aliipuuza Sunnah na akazua Bid´ah au akaritadi kutoka katika dini yake, atatimuliwa na kufukuzwa kutoka kwenye hiyo Hodhi ilihali kipindi hicho ndio atakuwa na haja kubwa kabisa ya maji.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 166
- Imechapishwa: 13/01/2024
Ambaye alishikamana na Sunnah za Mtume duniani na akazitendea kazi ndiye ambaye ataifikia Hodhi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) siku ya Qiyaamah na atakunywa kutoka humo. Kuhusu ambaye aliipuuza Sunnah na akazua Bid´ah au akaritadi kutoka katika dini yake, atatimuliwa na kufukuzwa kutoka kwenye hiyo Hodhi ilihali kipindi hicho ndio atakuwa na haja kubwa kabisa ya maji.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 166
Imechapishwa: 13/01/2024
https://firqatunnajia.com/75-wataokunywa-na-kuzuiwa-na-hodhi-ya-mtume-swalla-allaahu-alayhi-wa-sallam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)