Swali 75: Kutumiwe mawe kusipopatikana matofali ya udongo?
Jibu: Kusipopatikana matofali ya udongo italazimika kutumia mawe, vibao, miti au vyenginevyo miongoni mwa vile vitu vinavyomlinda maiti. Kisha atafunikwa udongo juu yake kutokana na Aayah iliotangulia. Nayo ni maneno Yake (Subhaanah):
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“… na yale niliyokuamrisheni basi yaendeeni kiasi muwezavyo.”[2]
[1] 64:16
[2] Ahmad (7288) na Muslim (1337).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 55
- Imechapishwa: 31/12/2021
Swali 75: Kutumiwe mawe kusipopatikana matofali ya udongo?
Jibu: Kusipopatikana matofali ya udongo italazimika kutumia mawe, vibao, miti au vyenginevyo miongoni mwa vile vitu vinavyomlinda maiti. Kisha atafunikwa udongo juu yake kutokana na Aayah iliotangulia. Nayo ni maneno Yake (Subhaanah):
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“… na yale niliyokuamrisheni basi yaendeeni kiasi muwezavyo.”[2]
[1] 64:16
[2] Ahmad (7288) na Muslim (1337).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 55
Imechapishwa: 31/12/2021
https://firqatunnajia.com/75-kutumiwe-mawe-kusipopatikana-matofali-ya-udongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)