Swali 74: Ikiwa ardhi ni ya milima azikwe maiti katika mapango au mageto[1]?
Jibu: Kama kuna wepesi wa kumchimbia kaburi na likazungushiwa mawe, basi ndio bora kuliko mapango. Isiposahilika kufanya hivo basi atawekwe ndani ya pango na kuhifadhiwa mpaka asalimike kutokamana na wanyama wakali na wengineo. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/190).
[2] 64:16
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 54-55
- Imechapishwa: 31/12/2021
Swali 74: Ikiwa ardhi ni ya milima azikwe maiti katika mapango au mageto[1]?
Jibu: Kama kuna wepesi wa kumchimbia kaburi na likazungushiwa mawe, basi ndio bora kuliko mapango. Isiposahilika kufanya hivo basi atawekwe ndani ya pango na kuhifadhiwa mpaka asalimike kutokamana na wanyama wakali na wengineo. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/190).
[2] 64:16
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 54-55
Imechapishwa: 31/12/2021
https://firqatunnajia.com/74-ikiwa-ardhi-ni-ya-milima-azikwe-maiti-katika-mapango-au-mageto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)