Swali 72: Ni ipi bora kufanya mwanandani ulio karibu na ukuta upande wa Qiblah[1] na mwanandani katikati ya kaburi[2]? Kaburi linanyanyuliwa kwa kiasi gani[3]?
Jibu: Madiynah walikuwa wakifanya mwanandani upande wa Qiblah na wakati mwingine wanachimba mwanandani katikati ya kaburi. Mwanandani upande wa Qiblah ndio bora zaidi. Kwa sababu Allaah amemchagulia Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kutengeneza mwanandani katikati ya kaburi inafaa na khaswa pale ambapo kunahitajika kufanya hivo. Hadiyth ya Ibn ´Abbaas isemayo:
“Mwanandani upande wa Qiblah ni kwa ajili yetu na mwanandani katikati ya kaburi ni kwa ajili ya wengine.”
ni dhaifu. Katika cheni ya wapokezi wake yuko mtu anayeitwa Abul-A´laa ath-Tha´labiy ambaye ni mnyonge.
Kaburi linanyanyuliwa kiasi cha shibiri na karibu au kukaribia hivo.
[1] Lahd.
[2] Shaqq.
[3] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/189).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 53-54
- Imechapishwa: 31/12/2021
Swali 72: Ni ipi bora kufanya mwanandani ulio karibu na ukuta upande wa Qiblah[1] na mwanandani katikati ya kaburi[2]? Kaburi linanyanyuliwa kwa kiasi gani[3]?
Jibu: Madiynah walikuwa wakifanya mwanandani upande wa Qiblah na wakati mwingine wanachimba mwanandani katikati ya kaburi. Mwanandani upande wa Qiblah ndio bora zaidi. Kwa sababu Allaah amemchagulia Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kutengeneza mwanandani katikati ya kaburi inafaa na khaswa pale ambapo kunahitajika kufanya hivo. Hadiyth ya Ibn ´Abbaas isemayo:
“Mwanandani upande wa Qiblah ni kwa ajili yetu na mwanandani katikati ya kaburi ni kwa ajili ya wengine.”
ni dhaifu. Katika cheni ya wapokezi wake yuko mtu anayeitwa Abul-A´laa ath-Tha´labiy ambaye ni mnyonge.
Kaburi linanyanyuliwa kiasi cha shibiri na karibu au kukaribia hivo.
[1] Lahd.
[2] Shaqq.
[3] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/189).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 53-54
Imechapishwa: 31/12/2021
https://firqatunnajia.com/72-mwanandani-aina-gani-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)