Swali 70: Je, imewekwa katika Shari´ah kusimama juu ya jeneza la kafiri[1]?
Jibu: Ndio, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusimama juu ya kila jeneza kutokana na kuenea kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtakapoona jeneza basi simameni.”[2]
Imepokelewa katika baadhi ya mapokezi?
“Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Hakika ni jeneza ya myahudi.” Akasema: “Kwani sio nafsi?”[3]
Imekuja katika tamko lingine:
“Hakika si venginevyo tumesimama kwa ajili ya Malaika.”[4]
Imekuja katika tamko lingine:
“Hakika kifo kinatisha.”[5]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/188).
[2] Ahmad (10811), al-Bukhaariy (1310-1311) na Muslim (958).
[3] Ahmad (23330), al-Bukhaariy (1313) na Muslim (961).
[4] Ahmad (18997, 19206).
[5] Ahmad (14398), an-Nasaa´iy (1922) na Abu Daawuud (3147).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 52
- Imechapishwa: 30/12/2021
Swali 70: Je, imewekwa katika Shari´ah kusimama juu ya jeneza la kafiri[1]?
Jibu: Ndio, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusimama juu ya kila jeneza kutokana na kuenea kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtakapoona jeneza basi simameni.”[2]
Imepokelewa katika baadhi ya mapokezi?
“Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Hakika ni jeneza ya myahudi.” Akasema: “Kwani sio nafsi?”[3]
Imekuja katika tamko lingine:
“Hakika si venginevyo tumesimama kwa ajili ya Malaika.”[4]
Imekuja katika tamko lingine:
“Hakika kifo kinatisha.”[5]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/188).
[2] Ahmad (10811), al-Bukhaariy (1310-1311) na Muslim (958).
[3] Ahmad (23330), al-Bukhaariy (1313) na Muslim (961).
[4] Ahmad (18997, 19206).
[5] Ahmad (14398), an-Nasaa´iy (1922) na Abu Daawuud (3147).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 52
Imechapishwa: 30/12/2021
https://firqatunnajia.com/70-je-imesuniwa-kusimama-juu-ya-jeneza-la-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)