Swali 69: Je, muislamu akiwa msikitini na akaona jeneza asimame[1]?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ni ueneaji. Kwa hivyo imependekezwa. Ambaye ataacha kufanya hivo hapana shida. Kusimama ni jambo limependekezwa na sio lazima. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara alisimama na mara nyingine aliacha. Kwa hiyo ikajulisha kwamba sio lazima.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/187-188).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 52
- Imechapishwa: 30/12/2021
Swali 69: Je, muislamu akiwa msikitini na akaona jeneza asimame[1]?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ni ueneaji. Kwa hivyo imependekezwa. Ambaye ataacha kufanya hivo hapana shida. Kusimama ni jambo limependekezwa na sio lazima. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara alisimama na mara nyingine aliacha. Kwa hiyo ikajulisha kwamba sio lazima.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/187-188).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 52
Imechapishwa: 30/12/2021
https://firqatunnajia.com/69-ni-lazima-kusimama-wakati-linapopita-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)