Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuamrisha yule mwanamume aliyeswali vibaya kusoma “al-Faatihah” katika kila Rak´ah. Baada ya kumuamrisha kuisoma katika ile Rak´ah ya kwanza akamwambia[1]:
“Halafu ufanye hivo katika swalah yako yote.”[2]
Katika upokezi mwingine imekuja:
“… katika kila Rak´ah.”[3]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Katika kila Rak´ah kuna kisomo.”[4]
[1] Abu Daawuud na Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi ulio na nguvu.
[2] al-Bukhaariy na Muslim.
[3] Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi mzuri.
[4] Ibn Maajah, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na Ahmad katika ”Masaa-il-ul-Imaam Ahmad” (1/52) ya Ibn Haani’. Jaabir amesema:
”Atakayeswali Rak´ah pasi na kusoma “al-Faatihah” hakuswali isipokuwa akiwa nyuma ya imamu.” (Maalik)
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 135-136
- Imechapishwa: 20/08/2017
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuamrisha yule mwanamume aliyeswali vibaya kusoma “al-Faatihah” katika kila Rak´ah. Baada ya kumuamrisha kuisoma katika ile Rak´ah ya kwanza akamwambia[1]:
“Halafu ufanye hivo katika swalah yako yote.”[2]
Katika upokezi mwingine imekuja:
“… katika kila Rak´ah.”[3]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Katika kila Rak´ah kuna kisomo.”[4]
[1] Abu Daawuud na Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi ulio na nguvu.
[2] al-Bukhaariy na Muslim.
[3] Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi mzuri.
[4] Ibn Maajah, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na Ahmad katika ”Masaa-il-ul-Imaam Ahmad” (1/52) ya Ibn Haani’. Jaabir amesema:
”Atakayeswali Rak´ah pasi na kusoma “al-Faatihah” hakuswali isipokuwa akiwa nyuma ya imamu.” (Maalik)
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 135-136
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/68-uwajibu-wa-kusoma-al-faatihah-katika-kila-rakah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)